Mambo yanazidi kuwa mambo ndani ya jumba la "kikubwa" la Big Brother House ambapo mwaka huu mashindano hayo yamepewa jina la Hotshots( Big Brother Hotshots)
Baada ya juzi kamera za jumba hilo kuwanasa washiriki wa Nigeria na Namibia wakichezeana makalio yao, jana Kamera hizo ziliwadaka Tayo(Nigeria) na Ellah (Uganda) wakipigana "Sound"
Katika video
↧