MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano
ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea
baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant
Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha
kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.
Kadhalika
mahakama hiyo
↧