Habari ya mjini hivi sasa ni Ndoa ya msataa wa Bongo, Wema Sepetu na Diamond Platnumz.
Habari zinaarifu kuwa ili Diamond Platnumz aweze kumuoa Wema Sepetu ni lazima atoe
shilingi milioni mil. 100.
Habari hizi ni kwa mujibu wa gazeti moja la udaku lililotoka Jana ambapo liliripoti kuwa mama Wema
sepetu anataka mahari ya milioni 90 na ushee ili binti yake huyo
↧