Habari mpya zinasema kuwa Meninah amekiri kutongozwa na Diamond Platnumz
lakini bado hajamkubalia.
Kwa mujibu wa gazeti
moja la Udaku toleo la jana, sms za Meninah akichati na rafiki yake akimwambia kuhusu
kutongozwa na Diamond zilinaswa na mwandishi wa gazeti hilo.
Hata hivyo Meninah alisema Diamond sio type yake, hawezi kutoka nae na pia anadaiwa kumkataa Diamond sababu ya
↧