Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Milioni 30 za Johari zimepotea baada ya kuzuiliwa kutoka kwa filamu ya ‘Sister Marry’

$
0
0
Muigizaji wa filamu Blandina Chagula aka Johari amesema pamoja na kusikitishwa kutokana na bodi ya filamu nchini kuizua filamu ya ‘Sister Marry’ isitoke, amekula hasara kubwa. Johari amesema  kuwa maandalizi ya filamu hiyo yalighalimu shilingi milioni 30.   “Unajua inauma sana, tumeshindwa kutetea filamu ya ‘Sister Marry’ kutokana na madai eti tumedhalilisha dini. Ina maana hawataki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>