Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne
kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo
kutoka nje.
Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo juzi alfajiri baada ya
kumchinja aliuchoma kwa kisu mwili wa mtoto huyo sehemu mbalimbali
ikiwemo masikioni na kifuani.
Gazeti la MWANANCHI ambalo lilikua shuhuda limedai baada ya kufanya
↧