Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama amkata mwanaye paja,achoma mshikaki

$
0
0
Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki.   Mwanamke huyo aliyetajwa kwa jina la Dafrosa Massawe anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa wiki na majirani wanasema mama huyo alifanya hivyo akiwa amelewa.   Kamanda wa Polisi Kilimanjaro Koka Moita alisema mwanamke huyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>