Wajukuu wa marehemu Sabina Ngalu wa Mwanza wamecharazwa viboko na
watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka wapewe
fedha.
Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya 10 kucharazwa bakora ni kung’ang’ania
ndani ya kaburi lililokua limeandaliwa kwa ajili ya kuhifadhi mwili wa
marehemu wakitaka wapewe ng’ombe mmoja au sh.100,000 kama zinavyotaka
mila za kabila la kisukuma.
↧