Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Viboko vyatembezwa makaburini Sengerema.....Wajukuu Wacharazwa bakora baada kung’ang’ania kaburini wakitaka wapewe fedha.

$
0
0
Wajukuu wa marehemu Sabina Ngalu wa Mwanza wamecharazwa viboko na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka wapewe fedha.    Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya 10 kucharazwa bakora ni kung’ang’ania ndani ya kaburi lililokua limeandaliwa kwa ajili ya kuhifadhi mwili wa marehemu wakitaka wapewe ng’ombe mmoja au sh.100,000 kama zinavyotaka mila za kabila la kisukuma.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>