Kuna Nesi mmoja amegudulika kuwa na ugonjwa wa Ebola baada ya
kuwahudumia Wamishionari wawili waliokua na ugonjwa huo baada ya kutoka
nao Sierra Leone walikokua wamekwenda kujitolea kufanya kazi.
Ugonjwa wa Ebola umekua ishu kubwa kwenye hizi nchi maarufu duniani
ambazo zimejikuta zikiingia kwenye headlines baada ya Wagonjwa kuanza
kugundulika ambapo Marekani kuna mmoja aliingia na
↧