Kuna Nesi mmoja amegudulika kuwa na ugonjwa wa Ebola baada ya
kuwahudumia Wamishionari wawili waliokua na ugonjwa huo baada ya kutoka
nao Sierra Leone walikokua wamekwenda kujitolea kufanya kazi.Â
Â
Ugonjwa wa Ebola umekua ishu kubwa kwenye hizi nchi maarufu duniani
ambazo zimejikuta zikiingia kwenye headlines baada ya Wagonjwa kuanza
kugundulika ambapo Marekani kuna mmoja aliingia na
↧