Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbunge wa Kawe Halima Mdee Apelekwa Segerea baada ya Kushindwa Kutimiza Masharti ya Dhamana Mahakamani

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe jijini Dar es salaam Mhe. Halima Mdee leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu. Mdee amefikishwa katika mahakama hiyo pamoja na wanachama wengine wanane wa chama hicho na kusomewa mashtaka mawili ya kukusanyika kinyume cha sheria pamoja na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>