Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RUKWA: Mwanafunzi Wa Miaka 17 Amtundika Mimba mwalimu wake mwenye umri wa Miaka 25.....Kamanda wa Polisi asema Mwalimu hana kosa kisheria!

$
0
0
WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.   Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika Shule ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>