Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serengeti Fiesta Yafanya Makamuzi ya Nguvu Mkoani Dodoma

$
0
0
Msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dodoma usiku wa kuamkia leo. Mo Music akitoa burudani kwa wakzi wa Dodoma waliyofulika kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Msanii zao la Serengeti Super Nyota G-Lucky akifanya makamuzi ndani ya uwanja wa Jamhuri Dodoma. Y-Tony akiwajibika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles