Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond Platnumz Afanya Makamuzi ya Nguvu Big Brother Hotshot Usiku Huu

$
0
0
STAA wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku huu amefanya makamuzi ya nguvu katika uzinduzi wa shindano la Big Brother Hotshots unaofanyika jijini Johanessburg nchini Afrika Kusini.   Katika shindano hilo, Tanzania inawakilishwa na watu wawili mrembo Irene 'La Veda' na Idriss.    Jumla ya washiriki 26 kutoka mataifa 13 ya Afrika watachuana kwa siku 63

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>