Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kibaka Achomwa Moto Maeneo ya Tabataka -Kimanga jijini Dar

$
0
0
KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu.    Kijana huyo alichomwa moto na wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina hiyo.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>