KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa
kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini
Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu.
Kijana huyo alichomwa moto na
wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina hiyo.
↧