Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ofisi ya Masijala Idara ya Ardhi Kigoma Yachomwa moto... Watu Wanne Watiwa Mbaroni

$
0
0
Watu wanne wanashikiliwa na polisi mkoani Kigoma kwa tuhuma za kuchoma moto ofisi ya masijala ya Idara ya Ardhi ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza hati na nyaraka mbalimbali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Ibrahim, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Anna Fanuel (46), Makrina Paul (49), Saimon Pius (37) na Tumaini Esau (44). Alisema Oktoba mosi, mwaka huu saa 4.15

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>