Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtumishi avamia eneo la makaburi na kujenga baa....Wananchi Wacharuka, Vibanda vyachomwa moto

$
0
0
MKAZI wa Mtaa wa Misufini, Kata ya Nyasa, Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Innocent Mtaro anatuhumiwa kujenga baa katikati ya makaburi.   Mtaro alijikuta juzi katika wakati mgumu baada ya wananchi wanaodai ni wenye hasira kutaka kumpa kipigo kwa kitendo hicho cha kugeuza sehemu ya makaburi kuwa eneo la burudani.    Mfanyabiashara huyo  ambaye  pia ni  mfanyakazi Idara ya Fedha ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>