Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maandamano Batili: Halima Mdee na Viongozi 8 wa BAWACHA Wakamatwa na Polisi, Kufikishwa Mahakamani Kesho

$
0
0
Viongozi tisa akiwamo Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee, wamekamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi cha Oysterbay baada ya kufanya maandamano yasiyo halali. Viongozi hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kesho (Jumatatu) kwa ajili ya kusomewa mashitaka. Kukamatwa kwao kulikuja muda mfupi baada ya maandamano yao yaliyoanzia kwenye ofisi za baraza hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>