Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya Ephrahim Kibonde wa Clouds Fm na Gadner Habash dhidi ya Askari wa Usalama barabarani yaahirishwa hadi Novemba 5

$
0
0
KESI ya kutumia lugha ya matusi na kutotii amri ya askari wa usalama barabarani, inayowakabili watangazaji wawili, Ephrahim Kibonde wa Kituo cha Habari cha Clouds Media Group na Gadner Habash wa Times Fm, imeahirishwa hadi Novemba 5 na 12 mwaka huu itakapoanza kusikilizwa.   Watangazaji hao waliiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kuahirisha kesi hiyo kutokana na wakili wao kupata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>