Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete awacharukia Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanaosubiri taarifa ziletwe ofisini.....Asema atakayeshindwa kusimamia ujenzi wa maabara aachie ngazi

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amewakemea wakuu wa mikoa na wilaya wanaokaa ofisini wakisubiri kuletewa taarifa bila kujua kinachoendelea katika maeneo yao.   Amesema viongozi wa aina hiyo hawafai kuwapo kwenye nafasi hizo. Aidha, aliwataka kukamilisha agizo lake la kujenga maabara katika halmashauri zao na kuwa Desemba 9, mwaka huu atakagua shule zote. Alitoa agizo hilo mjini Dodoma wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>