Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume na Mke Wazichapa Hadharani......Wavuana Nguo na kutoana Manundu kisa Pombe!

$
0
0
Njemba mmoja aliyefahamika kwa jina la Zeno na mkewe Mwajuma Mtata, wakazi wa mtaa Mrefu,  Kigogo-Luhanga jijini Dar wamenaswa wakiangusha bonge la timbwili barabarani na kusababisha umati wa watu kujikusanya eneo hilo kujionea ‘sinema’ ya bure. Tukio hilo lililofananishwa na muvi ya kivita lilitokea usiku wa Jumanne iliyopita ambapo chanzo kimedaiwa kuwa ni mwanamke huyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles