Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maslahi ya taifa yamezingatiwa katika Rasimu ya katiba ya sasa- Kingunge

$
0
0
Mwanasiasa Mkongwe nchini Tanzania Kingunge Ngombale Mwiru amesema Katiba ya sasa imezingatia masuala ya Msingi na kuwa bora zaidi na kuongeza kuwa vipengele viliyoondolewa ni kwa maslahi ya Taifa la Tanzania. Akichangia rasimu iliyopendekezwa jana bungeni mjini Dodoma Kingue alisema hata kuondolewa kwa mfumo wa Serikali Tatu ni kwa kuwa muundo huo ulikua umelenga kuuvunja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>