Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rose Ndauka na Mchumba wake Wamwagana

$
0
0
Wachumba wa muda mrefu, staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana. Chanzo cha uhakika kimesema kuwa wachumba hao ambao walivalishana pete kwa mbwembwe miaka mitatu iliyopita huku wakipika na kupakua lakini wamekuwa katika mzozo wa muda mrefu wa kifamilia,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles