Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma ( UDOM ) Afungwa Jela Miaka 6

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya  Ilala imemhukumu kifungo cha miaka sita jela, Melkiad Kabunduguru(28) baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kukutwa na noti bandia.    Kabunduguru ambaye ni  mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma(Udom) atatumikia kifungo hicho baada ya Mahakama kuridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yake.   Katika shtaka la kwanza la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>