Mbunge wa Jimbo la Korongwe Mjini, Yusuph Nassir, jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na wananchi wake wakidai kuwa hatembelei katika jimbo lake.
Zomea hiyo ilifuatia baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kuwataka wananchi waulize maswali kwenye mkutano wa hadhara ili viongozi wake wayajibu.
Akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na
↧