Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKAWA Yaitaka Polisi Kuzuia Mikutano ya Kinana Nchini

$
0
0
UMOJA wa Katiba ya Wananchi “Ukawa” wamemtaka Mkuu wa Jeshi la  Polisi nchini,  kuzuia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana,  kama alivyozuia mikutano na maandamano ya vyama vya siasa  vinavyoundwa  na Ukawa.   Hayo yamezungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Lissu wakati akizungunmza na waandishi wa habari leo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>