Ajali za barabarani duniani hutokea kila uchao, na wahitaji wa damu
wanazidi kuongezeka huku idadi ya wachangia damu nayo ikizidi kushuka
siku hadi siku na kuleta hatari kwa maisha ya wahitaji.
Kutokana na hali hiyo mji wa Baoji nchini China uko kwenye harakati
za uhamasishaji uchangiaji wa damu kwa mtindo wa kipekee , kampeni
ambayo imewekwa ni kwamba kama unahitaji kujiunga na chuo,
↧