Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Katibu Mkuu wa CCM ndg.Kinana Ziarani Mkoani Tanga

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima shamba la mpunga kwenye mradi wa kilimo kwanza wa Skimu ya Mahenge.  Mifereji ya maji kwenye shamba la skimu ya Mahenge. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kufyeka majani kwenye eneo la soko la sabasaba mjini Korogwe.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kujenga zahanati Mahenge

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles