Baada ya kushusha burudani ya aina yake katika mikoa ya Iringa na Morogoro wiki iliyopita, Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 linaendelea na sasa limejipanga kwa ajili ya kuwasha moto kwa wakazi wa mji wa Songea na viunga vyake kwa mara ya kwanza katika historia ya tamasha hilo nchini. Burudani hiyo ya kihistoria itafanyika leo katika Uwanja wa Majimaji mjini humo.
Kila kitu kipo sawa kwa
↧