Wasanii wa Tanzania, Vanessa Mdee, Diamond Platinumz na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za AFRIMA za nchini Nigeria.
Come Over imemuwezesha Vanessa kutajwa kuwania tuzo katika vipengele
viwili vya Best African RnB Soul na Best Female Artist in Eastern
Africa.
Peter Msechu kupitia wimbo wake Nyota na Diamond kupitia Number One
wametajwa kuwania tuzo ya Best Male Artiste In Eastern
↧