Mkurugenzi
wa Kampuni ya filamu Rj Company,Vicenti Kigosi amesema si lazima kujua
Kingereza maana hata Messi hajui.
Ray amesema hayo alipokuwa akichat
Live na mashabiki zake kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika
kipengele cha Kikaangoni Live kinachokukutanisha na watu mahiri kila siku ya jumatano kuanzia saa sita za mchana mpaka nane kamili.
Mkali huyo ambae kwa sasa
↧