MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo,
Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na
mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na
wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa
wengine.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Sandra alisema
kuna baadhi ya wasanii wanafikiri kuwa na
↧