Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafuasi watano wa CHADEMA Mbaroni

$
0
0
Wafuasi watano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali. Wafuasi hao akiwemo Mratibu wa Chadema Kanda ya Magharibi, Christopher Nyawanji wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma mbele ya Hakimu wa mahakama hiyo, Verynice Kawiche.   Washtakiwa wengine ni Laurent Manguweshi ambaye ni katibu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles