Wafuasi
watano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefikishwa
mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali.
Wafuasi
hao akiwemo Mratibu wa Chadema Kanda ya Magharibi, Christopher Nyawanji
wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma mbele ya Hakimu wa
mahakama hiyo, Verynice Kawiche.
Washtakiwa wengine ni Laurent Manguweshi ambaye ni katibu
↧