Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Audio: Hotuba ya Rais Kikwete Kwenye mkutano wa Tabia Nchi- Umoja wa Mataifa

$
0
0
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi, alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon  kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani.   Hii ni hotuba yake (kwa hisani ya Umoja wa Mataifa).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>