Watoto sita, wakiwemo
wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu
zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.
Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa
kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao
walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti na wachungaji watatu
wa kanisa
↧