Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Pingamizi la Mwanasheria mkuu wa serikali dhidi ya Kubenea Latupwa

$
0
0
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.   Aidha, mahakama hiyo hiyo ilitupilia mbali pingamzi kama hilo lililowasilishwa na AG dhidi ya kesi ya kikatiba ya Chama cha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>