Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Utata watawala taarifa za kuuawa kiongozi wa Boko Haram

$
0
0
Taarifa zilizosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Nigeria zinadai kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram, Abubakar Shekau ameuwa na majeshi ya Nigeria.   Tetesi hizo zilianza kusambaa Alhamisi iliyopita baada ya jeshi la Nigeria kutoa taarifa kupitia Twitter kuwa wamemjeruhi vibaya kiongozi wa ngazi za juu wa Boko Haram katika eneo la Konduga, Borno.   Wikendi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>