Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wasira: Urais si Mama Mkwe wangu.....Sitaona AIBU Kutangaza NIA wakati ukifika

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wasira amesema hana sababu ya kuona haya kutangaza kuutaka urais kwa kuwa urais si ukwe ila anasubiri wakati mwafaka.    Wasira alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti la  Mwananchi mjini Dodoma.   “Watakaposema ruksa, nitasema na wala kugombea urais si suala la kuonea haya. Ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>