Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tunda Man akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Wema wala Nyota Ndogo

$
0
0
Msanii wa muziki, Khalid Ramadhani maarufu kama ‘Tunda Man’, amedai kuwa hajawahi kuonja penzi la Wema Sepetu na wala hana mpango huo. Akizungumza na Global TV, Tunda amesema haendani na Wema.   “Hamna kitu kama hicho, mimi kama kapteni wa Bongo FlAVA sijawahi kulionja hilo penzi. Ni mshikaji wangu tu, kweli kabisa ni mshikaji wangu tu ambaye ‘mambo poa’, ‘post hii picha’ napost. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>