Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamasha la Serengeti Fiesta Laacha Gumzo Mkoani Morogoro

$
0
0
Baba Levo na Peter Msechu wakipagawisha jukwaani  kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.  Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia huku akiwa amebebwa na mwenzake.   Umati uliyokuwa umefurika kwenye Tamasha la  Fiesta 2014, ukishangilia moja ya burudani zilizokuwa zikitolewa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>