Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Familia ya Reeva imesemaje baada ya maamuzi ya Jaji kwenye kesi ya mauaji ya Oscar Pistorius ?

$
0
0
September 12 2014 Mahakama ya Pretoria nchini Afrika Kusini ilimpata Oscar Pistorius na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia kwenye siku ya Wapendanao February 14 2013.    Baada ya maamuzi hayo kutangazwa, familia ya binti aliyeuwawa Reeva Steenkamp imekasirishwa na uamuzi wa jaji wa kesi hiyo kwani mtoto wao alikufa kifo kibaya na ndio maana hawajaamini kilichotokea kwamba Jaji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>