Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dereva atakaye kamatwa akiendesha gari huku akiongea na simu Atafutiwa Leseni yake

$
0
0
Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kwa kushirikiana na Mamlaka ya usafiri wa Nchi kavu na Majini SUMATRA limeanzisha mkakati wa kuwafungia leseni madereva watakaobanika kuendesha magari huku wakiwa manazungumza na simu za mkononi.   zoezi hilo limekuja kufuatia kile kinachodaiwa kuwepo kwa ongezeko la ajali za barabarani ambazo zinasababishwa na uzembe ambao unasababishwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles