JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya
madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo
(UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini
kuongezeka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama
Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la
kuchunguza madereva ambao wanafanya
↧