Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Cheyo Awazima UKAWA Bungeni.....Asema Rais Kikwete hawezi kuahirisha bunge la katiba, Adai si makabaliano waliyofikia katika kikao

$
0
0
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), Bw. John Cheyo, amesema mchakato wa kupata Katiba Mpya, utamalizwa kwa kura za maoni ya wananchi hivyo Rais Jakaya Kikwete, hawezi kutoa tamko la kuahirisha Bunge hilo kwa kuwa vikao hivyo vinafanyika kisheria.   Alisema kitakachoahirishwa ni mchakato wa kura za maoni ya wananchi si Bunge hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>