Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Oscar Pistorius apona , jaji asema hana hatia katika kesi ya kuua kwa kukusudia

$
0
0
Hatimaye Jaji Thokozile Masipa ametoa maamuzi juu ya kesi iliyokuwa inamkabili mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius na kutupilia mbali madai kuwa aliua kwa kukusudia. Baada ya muda mrefu na mgumu wa muenendo wa kesi hiyo, jaji huyo ameamuru kuwa Pistorious hana hatia katika mashtaka yote yaliyokuwa yanamkabili.   Jaji Masipa ameeleza kuwa upande wa mashitaka umeshindwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles