Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msako wa Bodaboda Zenye Namba za Njano Waanza

$
0
0
 Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanya biashara, jambo ambalo ni kinyume.   Meneja Mawasiliano wa Sumatra, David  Mziray alisema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na  mwandishi wetu kuhusu usajili wa namba za pikipiki pamoja na zenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>