MBUNGE wa Vunjo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,
Augustine Mrema (TLP), amesema kuna haja Rais Jakaya Kikwete aongezewe
muda wa kuongoza nchi.
Alisema kama Rais Kikwete ataongezewa muda, atapata muda wa kukamilisha mchakato wa Katiba ambao ndiye aliyeuanzisha.
Mmoja wa wajumbe waliohudhuria kikao kati ya Rais Kikwete na Kituo
cha Demokrasia Tanzania (TCD)
↧