Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dawa za kuongeza Uchungu ni hatari kwa Wajawazito

$
0
0
 Matumizi ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.   Mganga Mkuu wa Mkoa Kigoma, Dk Leonald Subi alisema hayo mjini Kigoma kwenye kikao cha wadau wa afya.   Kikao hicho kilihusisha kufanya tathmini na kuona hatua za kuchukua kukabiliana na vifo vya wajawazito na watoto wakati wa kujifungua mkoani humo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles