Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ‘amekomaa’
kuhakikisha Bunge Maalumu la Katiba linafanya kazi kwa kasi na
kukamilisha kila kitu ifikapo tarehe yake ya mwisho, Oktoba 4, ikiwamo
kupiga kura za kupitisha Katiba inayopendekezwa kazi ambayo amesema
itafanywa hadi nje ya nchi kwa wajumbe watakaokuwa huko.
Sitta alilazimika kutoa matamko mawili kwa nyakati
tofauti,
↧