Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diva Afunguka tena.....Adai Zitto Kabwe ni mume wake na anatambulika kisheria, Asema hayupo tayari kuachana naye kirahisi

$
0
0
Mtangazajiwa Kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa kupitia Radio Clouds FM ya jijini Dar, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa mara ya kwanza, amejilipua kuzungumzia uhusiano wake na Zitto Kabwe kwamba walikuwa mke na mume. Katika mahojiano maalum na mwanahabari wetu jijini Dar juzi, Diva alisema anashangazwa na baadhi ya vyombo vya habari  kumnyima uhuru wa kuongelea suala lake na ‘zilipendwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles