Kutoka Lindi kuna taarifa ambayo imethibitishwa pia na kamanda Mpinga
kuhusu ajali iliyotokea Mtwara ambayo imehusisha gari la Jeshi la
Wananchi Tanzania(Jwtz)imeripotiwa asubuhi ya leo na shuhuda wa eneo
hilo.
Msafara huo wa Wanajeshi ulikuwa ukitokea Mtwara kuelekea Nachingwea
kwenye camp kubwa ya Jeshi na ajali hiyo imetokea maeneo ya Mnolela
kijijini Lindi,kwa mujibu wa
↧
Kifalu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Chapata Ajali na Kuua Wanajeshi watatu na Raia Mmoja
↧